Karibu Katika Tovuti ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar

STAFF MAIL : Login

Awesome Logo

   

Kuhusu Mamlaka
Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia (ZPRA) imeanzishwa chini ya kifungu cha 7 cha Sheria ya Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia nambari 6 ya mwaka 2016. Mamlaka hii imeanza kazi rasmi mwezi Machi 2017 kufuatia kuteuliwa kwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mamlaka. Lengo la kuanzishwa Mamlaka hii ni kukuza, kusimamia na kudhibiti shughuli za Utafutaji, Uendelezaji na Uzalishaji wa rasilimali za Mafuta na Gesi Asilia kwa eneo la Zanzibar kwa kuzingatia Sheria ya Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia nambari 6 ya mwaka 2016.
Dira
Kuwa mdhibiti bora wa Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia inayochangia kukuza uchumi wa Zanzibar.
Dhamira
Kusimamia, kudhibiti na kukuza shughuli za Utafutaji, Uendelezaji na Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa njia endelevu kwa madhumuni ya kukuza uchumi wa Zanzibar.
Maelezo zaidi

Choose Your Color
You can easily change and switch the colors.