Karibu Katika Tovuti ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar

STAFF MAIL : Login

Awesome Logo

Kampuni ya Maendeleo ya Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar

Mnamo mwaka 2016 Baraza la Wawakilishi Zanzibar liliandika historia mpya ya Zanzibar baada ya kupitisha Sheria Nambari 6 ya Mwaka 2016 Sheria ya Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar. Sheria hii inayosimamia na kutoa miongozo ya utafutaji na uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia pamoja na mambo mengine imeanzisha taasisi muhimu katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia ikiwemo Kampuni ya Maendeleo ya Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar.

Dhamira
Kufanya kazi kwa ufanisi ikiwa ni chombo cha Serikali chenye kulinda maslahi ya Taifa katika hatua zote za sekta ya Mafuta na Gesi Asilia.
Maelezo zaidi

Choose Your Color
You can easily change and switch the colors.